Tafuta

Cookie Policy
The portal Vatican News uses technical or similar cookies to make navigation easier and guarantee the use of the services. Furthermore, technical and analysis cookies from third parties may be used. If you want to know more click here. By closing this banner you consent to the use of cookies.
I AGREE
Rondeaux: Allegro
Ratiba Podcast
Baba Mtakatifu Francisko tarehe 29 Julai 2024 amemteua Monsinyo Philippe Curbelié kuwa Katibu mkuu Msaidizi Baraza la Kipapa la Mafundisho Tanzu ya Kanisa.  Baba Mtakatifu Francisko tarehe 29 Julai 2024 amemteua Monsinyo Philippe Curbelié kuwa Katibu mkuu Msaidizi Baraza la Kipapa la Mafundisho Tanzu ya Kanisa.   (Vatican Media)

Askofu Mkuu Philippe Curbelié Katibu mkuu Msaidizi Baraza la Kipapa la Mafundisho Tanzu

Askofu mkuu mteule Philippe Curbelié alizaliwa tarehe 13 Agosti 1968 huko Neuilly-sur-Seine, nchini Ufaransa. Baada ya masomo na majiundo yake ya Kikasisi, tarehe 30 Aprili 1995 akapewa Daraja Takatifu ya Upadre kwa ajili ya Jimbo Katoliki la Toulouse (-Narbonne-Saint Bertrand de Comminges-Rieux), lililoko nchini Ufaransa. Mwezi Septemba 2012 akateuliwa kuwa ni Afisa Baraza la kpapa la Eluimu Katoliki. 5 Juni 2022,akateuliwa kuwa afisa mwanadamizi.

Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S. – Vatican.

Baba Mtakatifu Francisko tarehe 29 Julai 2024 amemteua Monsinyo Philippe Curbelié kuwa Katibu mkuu Msaidizi Baraza la Kipapa la Mafundisho Tanzu ya Kanisa na hivyo kumpandisha hadhi na kuwa ni Askofu mkuu, cheo binafsi.  Askofu mkuu mteule Philippe Curbelié alizaliwa tarehe 13 Agosti 1968 huko Neuilly-sur-Seine, nchini Ufaransa. Baada ya masomo na majiundo yake ya Kikasisi, tarehe 30 Aprili 1995 akapewa Daraja Takatifu ya Upadre kwa ajili ya Jimbo Katoliki la Toulouse (Narbonne-Saint Bertrand de Comminges-Rieux), lililoko nchini Ufaransa.

Askofu mkuu Philippe Curbelie
Askofu mkuu Philippe Curbelie

Askofu mkuu mteule Philippe Curbelié Kunako mwezi Septemba 2012 aliteuliwa na Baba Mtakatifu Benedikto XVI kuwa ni Afisa Baraza la Kipapa la Elimu Katoliki. Tarehe 5 Juni 2022 akateuliwa na Baba Mtakatifu Francisko kuwa Afisa Mwandamizi, Baraza la Kipapa la Utamaduni na Elimu. Tarehe 6 Julai 2022 Baba Mtakatifu akamteuwa kuwa ni Katibu mkuu msaidizi wa Baraza la Kipapa la Mafundisho Tanzu ya Kanisa na tarehe 29 Julai 2024 akampandisha hadhi na kuwa ni Askofu mkuu.

Uteuzi Mafundisho Tanzu ya Kanisa
03 Agosti 2024, 14:53
Prev
February 2025
SuMoTuWeThFrSa
      1
2345678
9101112131415
16171819202122
232425262728 
Next
March 2025
SuMoTuWeThFrSa
      1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031